Monday, October 6, 2008

ghorofa lanyanyuliwa kwa jeki 275

Ni maajabu lakini ni kweli

Ghorofa lililojengwa kwenye eneo lililotitia na kulifanya lizame kwa futi tano na kuingia maji ndani, limenyanyuliwa kwa kutumia jeki za magari makubwa 275 kwa urefu wa futi 11. aimini usiamini mmiliki wa kampuni hiyo ana elimu ya darasa la nne na watoto wake wanne anaoshirikiano nao wana elimu ya msingi isiyozidi darasa la 10.

kwa habari za undani kuhusu jengo hilo na picha kem kem na namna walivyofanya fungua blog. http://shija.blog.co.in/ pata uhondooo!

No comments: