Wednesday, October 15, 2008

serikali Vietnam yamfunga jela mwandishi kwa kuandika habari za rushwa




mahakama ya Vietnam imemfunga jela miaka miwili mwandishi wa habari Nguyen Viet Chien, 56, kisa! kaandika habari za rushwa. (pichani mkewe akilia baada ya hukumu na kulia ni Viet).
Kwa habari zaidi na picha mbalimbali fungua hapa: http://shija.blog.co.in/

No comments: