Monday, October 13, 2008

kuachana ni ukichaa eti! wagawana nyumba



kuachana wakati mwingine huwa ni ukichaa, tazameni haya maajabu mke na mume huko Cambodia wameamua kugawana kwa kuikata katikati hii nyumba, kila mtu akachukua kipande chake, ama kweli ndoa ndoano, ikishindwa kufanya kazi inazama na mtu. (kulia ni kipisi cha nyumba).

kwa habari zaidi kuhusu hawa wanandoa bonyeza hapa http://shija.blog.co.in/ mambo yote utayapata humo. changamkia tenda mwanangu.

No comments: