Monday, October 6, 2008

Rais wa Pakistan alimlilia mkewe UN


Rais wa Pakistan Asif Ali Zardari alitoa mpya kwenye mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa baada ya kuingia na picha ya mkewe marehemu Benazir Bhuttto aliyeuawa kwa bomu na kutaka UN iunde tume huru kufanya uchunguzi. pichani Zardari akionyesha picha yaBenazir.

habari zaidi kuhusu vituko vya Zardari ndani ya UN fungua blog. http://shija.blog.co.in/ utapata mambo kwa kirefu na upana enjoy mambooooozzzzi

No comments: