Wednesday, October 29, 2008

utani kwa 'Mungu' atimuliwa Dubai



mmiliki wa radio binfasi revin john raia wa marekani ametimuliwa Dubai baada ya radio yake kuingiza utani wa 'Mungu' kwenye kipindi chake cha comedy kwa kuigiza sauti ya 'mungu' wakidai wanaongea naye kwa simu. utani wowote wa Mungu au Mtume Muhammad ni marufuku Dubai.

Kwa habari zaidi fungua hapa: http://shija.blog.co.in/

No comments: