Wednesday, October 15, 2008

Ubalozi wa Uganda Ubelgiji wageuka makazi ya wavuta unga


Serikali ya Uganda imeamua kulivunjilia mbali jengo la ubalozi wake Ubelgiji kwakuwa limegeuka makazi ya wavuta unga na wahuni. jengo hilo lilinunuliwa na aliyekuwa rais wa Uganda dikteta Idi Amin Dadaa miaka kibao iliyopita. kwa habari zaidi na picha mbalimbali za jengo hilo fungua hapa: http://shija.blog.co.in/

No comments: