Wednesday, October 29, 2008

urais na umiss- Sarah Palin




Mgombea mwenza wa John McCain, Sarah Palin katika uchaguzi wa Marekani mwanzoni mwa mwezi ujao anazidi kukumbwa na misukosuko, mara umiss Alaska mwaka 1984, mara kutumia madaraka vibaya kwa kumfukuza kazi shemeji yake, mara hawajai kusoma magazeti kwa muda mrefu na sasa kaingia ugomvi na Rais Hugo Chavez ambaye hata hivyo amesema hajui asemalo anapaswa kusamehewa.

kwa habari zaidi soma hapa; http://shija.blog.co.in/

No comments: