Wednesday, October 15, 2008

Shushushu wa kike anayetumia ngono akamatwa



Shushushu wa kike wa Korea Kaskazini Won Jeong-hwa, 34, ayetumia mwili wake kwa kufanya ngono na wanajeshi wa serikali ya Korea Kusini, amekamatwa Korea Kusini na kula kifungo cha miaka mitano jela. (kushoto ni ushahidi uliokusanywa na kulia ni Won Jeong-hwa.
kwa habari zaidi fungua hapa: http://shija.blog.co.in/

No comments: