Wednesday, October 29, 2008

mfalme wa Nepal akitakiwa umeme kwa madeni



mfalme wa zamani wa Nepal Gyanendra anadaiwa zaidi ya dola za marekani milioni moja (zaidi ya shilingi bilioni moja za Tanzania) na amepewa siku 15 awe amelipa deni hilo la sivyo cha moto atakiona. ukiondoka madarakani mambo ya kunyenyekewa hakuna tena ni undava-undava tu.

kwa habari zaidi fungua hapa: http://shija.blog.co.in/

No comments: